DVD “Amali za Kimataifa za Hizb ut Tahrir katika Kumbukumbu ya Miaka 101 ya Kuvunjwa Khilafah 1443 H - 2022 M
- Imepeperushwa katika Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Denmark iliandaa kisimamo mbele ya Bunge la Denmark katika uwanja wa Christiansborg Castle Square cha kulaani mateso ya umwagaji damu ya India dhidi ya Waislamu na unafiki wa serikali ya Denmark.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki iliandaa programu nyingi za iftar katika miji mikubwa zaidi ya 20 kote nchini Uturuki kwa kuwashirikisha wawakilishi wa vyama vya kisiasa, waandishi habari, vyombo vya habari na mashirika yasiyo ya kiserikali.
Katika muendelezo wa amali za umma zilizoandaliwa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan, ili kuuamsha Umma wa Kiislamu na kuimarisha azma yake ya kusimamisha Dola ya Khilafah Rashida upya,
Kwa kuzingatia hali ya wasiwasi katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) ya mashambulizi ya mara kwa mara ya umbile la Kiyahudi lililouteka nyara Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na kuuzingira kwake na mashambulizi ya mabomu ya kuendelea kwa muda wa miaka 16 kwenye Ukanda wa Gaza,
Mnamo tarehe 15 Ramadhan 1443 H, katika Ukumbi wa Jiji la Dosa, Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan ilifanya iftar ya Ramadhan ya kila mwaka, iliyohudhuriwa na mkusanyiko mkubwa wa wanasiasa, wanahabari, wanazuoni,
Mnamo Mei 11, 2022 M, itakuwa imepita miaka kumi tangu mbebaji mradi wa Khilafah, Mhandisi Naveed Butt, msemaji rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Pakistan,
Kwa mwaliko wa Hizb ut Tahrir/Indonesia Waislamu walishiriki katika miji mingi kote Indonesia kama vile; Jakarta, Surabaya, Medan, Bandung, Kendari, Makassar, na mengineo wakiwa katika amali za kuukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhan kwa mwaka huu wa 1443 H kwa jina (Kukaribisha Ramadhan 1443 H).
Katika muendelezo wa amali za umma zilizoandaliwa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan, ili kuuamsha Umma wa Kiislamu na kuimarisha azma yake ya kusimamisha Dola ya Khilafah Rashida ya pili,