Hizb ut Tahrir / Amerika: Maoni juu ya Maandamano ya Vyuo Vikuu!
- Imepeperushwa katika Amerika
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Amerika: Maoni juu ya Maandamano ya Vyuo Vikuu!
Hizb ut Tahrir / Amerika: Maoni juu ya Maandamano ya Vyuo Vikuu!
Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia inaendeleza kuinusuru kwake Gaza ambapo mpaka sasa imeandaa matembezi 33 tangu kuzinduliwa cheche ya Kimbunga cha Al-Aqsa, na ina nia ya kuuamsha Umma na majeshi yake hadi wasimamishe dola la Uislamu aliyowafaradhishia juu yao Mwenyezi Mungu.
Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia iliandaa matembezi yenye kichwa “Enyi Majeshi ya Waislamu Je, Mnaiacha Gaza Pekee Yake katika Kukabiliana na Mayahudi na Makruseda?!” baada ya swala ya Ijumaa kutoka Msikiti wa Al-Fatah katika mji mkuu.
Enyi Waislamu wa Pakistan! Sasa, ni juu yetu kutimiza jukumu letu kwa Palestina, haswa Waislamu wa Gaza!
Enyi Waislamu wa Pakistan! Waislamu Jasiri wa Gaza Wanasimama Kidete Mbele ya Umbile la Kiyahudi, Hivyo Musikate Tamaa. Washajiisheni Ndugu Zenu na Watoto Wenu katika Vikosi vya Jeshi la Pakistan Kutangaza Jihad kwa ajili ya Ukombozi wa Palestina.
Kalima katika Kisimamo cha Juma’a “Heshima zetu ni Mapinduzi yetu ... Tumeitika, Ewe Dada Yetu!”
Hizb ut Tahrir/Wilayah Bangladesh, leo (19/4/2024) iliandaa maandamano na matembezi katika majengo tofauti ya misikiti ya Dhaka na Chittagong mnamo Ijumaa (19/4/2024) kwa kichwa, “Ndege mbili zilizowasili Dhaka siku mbili mfululizo moja kwa moja kutoka kwa dola haramu ya Israel, hatua muhimu katika uhalalishaji uhusiano na dola hiyo haramu ya Kiyahudi” - kupitia hili, serikali ya Hasina Imenyakua Jani la Mulberry ambalo lilisitiri Uchi wa Usaliti wake wa Uislamu na Waislamu”.
Maoni ya habari ya Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan.
Kwa Mabadiliko ya Kweli… Kataeni demokrasia... Simamisheni Khilafah.
DVD “Amali za Hizb ut Tahrir za Kilimwengu katika Kumbukumbu ya Miaka 103 Hijria ya Kuvunjwa Khilafah 1445 H - 2024 M
Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia iliandaa matembezi yenye kichwa “Kutoka Tunis Hadi Gaza... Takbira za Idd zinayahamasisha Majeshi ya Waislamu!” baada ya swala ya Ijumaa kutoka Msikiti wa Al-Fatah katika mji mkuu.