Ijumaa, 08 Jumada al-thani 1447 | 2025/11/28
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria: Kisimamo kwa Anwani “Na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa ni Mlinzi, na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa ni Mwenye Kukunusuruni”

Kalima iliyotolewa na Ustadh Ali Al-Bakri wakati wa kisimamo kilichoandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria siku ya Ijumaa “Na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa ni Mlinzi, na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa ni Mwenye Kukunusuruni” katika mji wa Kafra – viungani mwa kaskazini mwa Aleppo.

Soma zaidi...

Wilayah Sudan: Jukwaa la Kadhia za Umma “Miaka 103 tangu Kuvunjwa kwa Khilafah... Maumivu na Matumaini ya Umma wa Kiislamu”

Kama sehemu ya amali za Rajab, juu ya ukumbusho wa kuvunjwa kwa Khilafah, na chini ya jkichwa “Miaka 103 tangu Kuvunjwa kwa Khilafah... Maumivu na Matumaini ya Umma wa Kiislamu,” Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan ilifanya, na ndani ya msururu wa vikao vitatu vya mwezi wa Rajab katika mji wa Gadharef.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu