Hizb ut Tahrir / Wilaya Syria: Kisimamo cha Kulaani Mapigano ya Kimakundi katika Maandalizi ya Suluhisho la Kisiasa
- Imepeperushwa katika Syria
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Wilaya Syria iliandaa kisimamo katika mji wa Ariha, viungani mwa Idlib, kulaani mapigano ya kimakundi katika maandalizi ya suluhisho la kisiasa.