Wilayah Pakistan: Chini ya Uislamu, Pakistan Itakwepa Mtego wa Madeni!
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Pakistan hutumia zaidi ya nusu ya ushuru unaokusanywa kwa malipo ya riba.
Pakistan hutumia zaidi ya nusu ya ushuru unaokusanywa kwa malipo ya riba.
Hizb ut-Tahrir nchini Uswidi iliandaa kisimamo mbele ya Idara ya Uhamiaji ya Uswidi kutaka kusitishwa kwa uhamisho wa Ndugu Odiljon Jalilov,
Hizb ut Tahrir / Kenya iliandaa muhadhara kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume (saw), wenye kichwa:
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan imekamilisha kampeni pana kwenye mitandao ya kijamii kwa anwani:
Leo tarehe 25/10/2021 wananchi wa Sudan wameamkia kuibuka kwa vuguvugu kutoka kwa jeshi lililowakamata baadhi ya mawaziri pamoja na idadi kadhaa ya washiriki katika serikali ya mpito ya kiraia na kisha kukamatwa kwa Waziri Mkuu Hamdok mwenyewe...
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan inaandaa kampeni pana kwenye mitandao ya kijamii kutaka kufugwa kwa angani ya Pakistan kwa droni za mauaji na ndege za ujasusi za Amerika.
Maoni kwa Vyombo vya Habari ya Dkt. Ibrahim Al-Tamimi
Mwanachama wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina)
Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Tunisia ilifanya kikao na wanahabari kwa anwani: "Kukabiliana na Upuuzi wa Kisekula!"
Mnamo siku ya Ijumaa, Oktoba 15, 2021, Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia iliandaa visimamo baada ya swala ya Ijumaa jijini Tunis na katika miji ya Kairouan na Sfax ili kukabiliana na upuuzi wa kisekula na njia ya kisiasa inayoharibu nchi.
Amali za umma zinazofanywa na Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan ziliendelea katika majimbo anuwai ya nchi ili kuunda rai jumla yenye utambuzi kuhusu vifungu vya Uislamu na masuluhisho yake yanayohusiana na nidhamu tofauti tofauti za maisha.