Hizb ut Tahrir / Wilaya Lebanon: Uungaji Mkono Wafungwa wa Kiislamu na Upingaji Sera ya Vipimo Viwili!
- Imepeperushwa katika Lebanon
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hotuba ya Dkt. Mohamed Ibrahim, Mkuu wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir Wilaya Lebanon katika Maandamano, ambapo alialikwa na jamaa za wafungwa wa Kiislamu jijini Tripoli – Uwanja wa Nour.