Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Mabango ya Ramadhan 1443 H - 2022 M
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan inaendesha kampeni ya mitandao ya kijamii katika mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan inaendesha kampeni ya mitandao ya kijamii katika mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Hotuba ya kitaifa ya Imran Khan inathibitisha kwamba Pakistan haiwezi kamwe kufanikiwa wakati inafungamana na mfumo wa sasa wa kiuchumi wa kiulimwengu.
Kutoka ukurasa huu tutaangazia amali zilizoandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan kwa mwito "Wakati wa Khilafah Umewadia" katika mwezi mtukufu wa Rajab wa mwaka huu wa 1443 H mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 101 H ya kuvunjwa Dola ya Khilafah tarehe 28 Rajab Tukufu 1342 H.
Waislamu wa Kashmir inayokaliwa kimabavu hawahitaji taarifa rasmi za kawaida za mnamo tarehe 5 Februari 2022, Siku ya Kashmir.
Khalifah huwatawala Waislamu kwa yale yote yaliyoteremshwa na Mwenyezi Mungu (swt).
Tuko katika umasikini licha rasilimali zetu nyingi.
Kuanguka kwa Khilafah Kwahitaji Kazi ya Kurudi Kwake.
Naveed Butt Alitekwa nyara na maafisa wa Usalama wa Serikali tarehe 11 Mei 2012 Mbele ya Familia yake na majirani zake.
Majeshi ya Magharibi hupiga hesabu za vita kwa idadi vikosi vya Kiislamu vinaamini Nusra ya Mwenyezi Mungu (swt) Vikosi vya Kiislamu hutamani kufa shahidi Majeshi ya Kiislamu daima huyashinda majeshi makubwa zaidi Mwenyezi Mungu (swt) amesema,
Khilafah itakusanya rasilimali zetu nyingi kama dola moja Mafuta ya Saudi Arabia na Iran