Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Hizb ut Tahrir inapinga Ukoloni wa Kithaqafa kwa nchi za Waislamu!
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir inapinga Ukoloni wa Kithaqafa kwa nchi za Waislamu!
Hizb ut Tahrir inapinga Ukoloni wa Kithaqafa kwa nchi za Waislamu!
Hizb ut Tahrir inapinga Ukoloni wa Kisiasa wa nchi za Waislamu!
Hizb ut Tahrir inapinga Ukoloni wa Kijeshi wa nchi za Waislamu!
Umma na Majeshi Yake wanao Uwezo wa Kumaliza Mfumo Dhalimu wa Kilimwengu wa Amerika!
Watawala wa Waislamu Wanaogopa kwamba Watafuata baada ya Kuanguka kwa Dhalimu wa Ash-Sham!
Baada ya Kukombolewa Damascus, Ukombozi wa Palestina Utakuwa chini ya Bendera ya Khilafah Rashida kwa Idhini ya Mwenyezi Mungu.
Maoni ya habari yaliyotolewa na Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Pakistan.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Hakika Makafiri wa Dunia Wamekusanyika dhidi yYetu!
Moto wa vita umeangaza anga, na jambo hilo liko wazi mithili ya usiku na mchana. Kuwanusuru Waislamu wa Gaza na Palestina hakutatokea, bila ya zana za kivita za majeshi ya Waislamu. Majeshi yetu ndiyo yalio na uwezo huu. Basi ni nini sababu, enyi Waislamu, kwamba tusikutane na maafisa wa kijeshi tunaowajua kibinafsi, na kujadiliana na kila afisa mmoja mmoja? Kwa nini tusiwatembelee ndugu wa maafisa hawa na kuwahimiza wachukue hatua za haraka? Ummah lazima uyatake majeshi yake yaondoe kila ukuta, na kushinda kila kizuizi, kinachosimama kati yao, na uharibifu wa uvamizi wa Mayahudi.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Ijapokuwa Ulimwengu wa Kiislamu Unatawaliwa na Mfumo wa Kikoloni!