Wale ambao hawako upande wa Haki wanakuwa ni Walinzi wa Batili
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Rais Erdogan, katika taarifa yake baada ya kikao cha baraza la mawaziri, alisema: “Mashaka juu ya utawala wa Uturuki ni mjadala uliomalizika kwa kuishangilia Jamhuri mnamo Oktoba 29, 1923. Hakuna mtu yeyote katika nchi hii ambaye ana tatizo na jamhuri au mwanzilishi wa taifa.”