Ijumaa, 24 Rabi' al-awwal 1446 | 2024/09/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Mradi Mpya Juu ya Syria

Yaliyotokea mjini Daraa kutokana na serikali kuyavamia kwa haraka maeneo yaliyo hamwa kwa miaka, na kufuatiwa na Quneitra na kabla ya hapo Ghouta na kabla yake Aleppo na dada zake, na macho yote sasa yanaelekea Idlib, hii inaonesha kuwa yapo mambo ambayo yanastahili kufanyiwa utafiti na utambuzi.

Soma zaidi...

Ni Kipi Kilicho Nyuma ya Oparesheni ya Uturuki "Olive Branch" Kaskazini Mwa Syria?

Imegunduliwa kwamba harakati za Erdogan nchini Syria zimetulia kwa kiasi fulani baada ya oparesheni ya kuhami Furaat na kutelekeza kwa Erdogan mji wa Aleppo, na kuiruhusu serikali kuchukua udhibiti juu ya Aleppo, lakini akaregelea tena oparesheni hiyo kwa jina la ‘Olive Branch’ ikielekea eneo la Afrin tangu Jumamosi, 20/01/2018, kupitia mashambulizi ya anga ya silaha na makombora.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu