Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Maoni ya Habari 27/11/2024 M
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Maoni ya habari yaliyotolewa na Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Pakistan.
Maoni ya habari yaliyotolewa na Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Pakistan.
Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan ukiongozwa na Ustadh Nasser Ridha (Abu Ridha), Mkuu wa Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Sudan, na pamoja naye Ustadh Ibrahim Othman (Abu Khalil), Msemaji Rasmi wa Hizb utTahrir katika Wilayah ya Sudan, na msaidizi wake, Ustadh Muhammad Jameh (Abu Ayman) ulimpokea Ndugu Dkt. Omar Bakhit Muhammad Adam, Waziri wa Masuala ya Kidini na Wakfu wa Kifederali katika afisi ya Hizb mjini Port Sudan, jana, Jumamosi, 21 Jumada al-Awwal 1446 H sawia na 23/11/2024 M.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan ilitoa hotuba ya kisiasa kaskazini mwa Msikiti wa Ibn Masoud katika Soko Kuu la Port Sudan mnamo Jumatatu tarehe 11/18/2024 M, yenye kichwa: “Uislamu ni mfumo kamili wa maisha”.
Kwa mnasaba wa kupita mwaka mmoja wa mauaji ya kikatili yanayoendelea (mauaji ya halaiki) yanayofanywa na umbile nyakuzi la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza, ambayo yamepelekea kuuawa shahidi na kujeruhiwa Waislamu zaidi ya 160,000 wanaume na wanawake hadi sasa, Hizb ut Tahrir / Indonesia iliandaa amali kubwa kwa anwani “Kukomesha mauaji ya halaiki nchini Palestina kunaweza tu kutekelezwa kwa kusimamisha Khilafah na kuhamasisha majeshi ya Kiislamu.”
Matembezi ya hamsini na nane ya kunusuru Palestina na mateka Al-Aqsa, ambayo yaliandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia, yalifanyika katika mji mkuu, Tunis, baada ya swala ya Ijumaa, chini ya kichwa “Gaza Inamwachia Mwenyezi Mungu Kiwango cha Usaliti jijini Riyadh na inataka Msaada kwa Umma na Majeshi yake!”
Hizb ut-Tahrir / Wilayah Sudan ilifanya mkutano na waandishi wa habari mnamo siku ya Jumamosi tarehe 23 Rabi’ al-Akhir 1446 H sawia na 10/26/2024 M katika afisi yake mjini Port Sudan, wenye kichwa: “Mkataba wa Entebbe, Bwawa la Al-Nahdha, na watawala kupuuza maslahi muhimu ya Umma”.
Kufuatia kuendelea kwa mauaji ya watu wa Gaza yanayofanywa na umbile katili la Kiyahudi ambayo sasa yamepita mwaka mmoja, Hizb ut Tahrir/Kenya kupitia Afisi yake ya Habari ilifanya mkutano na waandishi wa habari mnamo siku ya Ijumaa, 18 Oktoba 2024.
Hizb ut Tahrir / Uholanzi iliandaa matembezi katika mji mkuu wa Uholanzi, Amsterdam, kwa mnasaba wa kupita mwaka mmoja kamili wa vita vya mauaji ya Halaiki dhidi ya Waislamu wa mji wa Gaza Hashem, kunusuru na kuiombea nusra na Izza Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na Gaza.
Mnamo Ijumaa, Oktoba 11, 2024, Hizb ut-Tahrir / Wilayah Tunisia ilifanya Kongamano la kila Mwaka la Khilafah chini ya kichwa: “Khilafah ya Kiislamu… Kuelekea Mfumo Mpya wa Kimataifa”
Hizb ut Tahrir / Indonesia iliandaa amali kubwa katika mji mkuu wa Indonesia, Jakarta, na katika mji mkubwa wa pili nchini Indonesia wa Surabaya, ambapo maelfu ya Waislamu walikusanyika na kutaka kuhamasishwa kwa majeshi ya Waislamu ili kuwanusuru Waislamu katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na kuukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kwa mabavu.