Jumapili, 27 Muharram 1448 | 2026/07/12
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Viongozi wa Chama cha Chuo cha Eden Chhatra ni Matunda ya Mti wa Sumu wa Usekula Unaokuzwa na Serikali ya Hasina

Taifa zima limeshtushwa na madai dhidi ya viongozi wakuu wa kike wa Chama cha Chuo Eden Chhatra, mrengo wa wanafunzi wa chama tawala, Awami League. Wanaharakati wa chama chao wamedai mbele ya vyombo vya habari kuwa viongozi wao hurekodi video za uchi za wanaharakati wanawake wa chama hicho, kuwanyanyasa kingono na kuwalazimisha kuwaburudisha viongozi wakuu wa chama hicho.

Soma zaidi...

Uthabiti wa Hadithi, “Mimi Niko Mbali na Wale Walioishi Siku Arubaini baina ya Makafiri”

Ni upi uthabiti wa hadithi ifuatayo: mimi niko mbali na wale wameishi siku arubaini baina ya makafiri? Na nini hukmu ya Kiislamu kwa mtu anayeishi katika nchi ya kikafiri kwa ajili ya kazi, na ipi hukumu ya kisheria kwa mtu anayeishi katika nchi ya kikafiri kwa ajili ya kusoma?

Soma zaidi...

Al-Waqiyah TV: Je, Tunapaswa Kujibu Vipi Maandamano ya Iran ya Kupinga Hijab?!

Katika muda wa wiki mbili zilizopita, kumekuwa na maandamano kote nchini Iran na katika sehemu zengine za dunia kujibu kifo cha Mahsa Amini, mwanamke wa Kikurdi mwenye umri wa miaka 22, ambaye inasemekana alikamatwa na polisi wa maadili wa Iran kwa kutofinika nywele zake ipasavyo kwa Hijab na kupigwa hadi kufa akiwa chini ya ulinzi wao.

Soma zaidi...

Vichwa vya Habari: 05/10/2022

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken alisema katika mkutano na waandishi wa habari pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada kwamba mashambulizi dhidi ya mabomba ya gesi asilia ya Nord Stream yanayounganisha Urusi na Ujerumani yanatoa "fursa kubwa" ya kukomesha utegemezi wa Ulaya kwa nishati ya Urusi.

Soma zaidi...

Iraq Mpya ambayo Amerika Iliahidi

Mnamo siku ya Jumatano na Alhamisi, Septemba 28-29, 2022, Iran ilishambulia vikali wilaya za majimbo ya Erbil na Sulaymaniyah kwa makombora ya balistiki na droni zilizonaswa, zikilenga makao makuu ya vyama vya upinzani vya Kikurdi. Mnamo Jumatano, Wakfu wa Kupambana na Ugaidi katika Mkoa wa Kurdistan ulitangaza kwamba "Walinzi wa Mapinduzi ya Iran walifanya shambulizi la kombora katika eneo hilo katika hatua nne, ambalo liliwaacha mashahidi 13 na 58 kujeruhiwa."

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu