Uhakiki wa Habari 20/08/2022
- Imepeperushwa katika Vichwa vya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ilifichuliwa wiki hii kwamba Waziri Mkuu wa zamani wa Australia Scott Morrison alichukua mamlaka kwa siri ya nyadhifa nyengine tano za baraza la mawaziri alipokuwa akiongoza serikali.



