Ijumaa, 30 Shawwal 1447 | 2026/04/17
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Kufungwa kwa Shule Huru za Waislamu Kunalenga Kitambulisho cha Waislamu

Mnamo Alhamisi, Dagens Nyheter, Göteborgsposten na Aftonbladet waliripoti kwamba Mamlaka ya Ukaguzi wa Shule ya Uswidi inabatilisha vibali vya shule mbili za kibinafsi za Waislamu kufuatia tahadhari kutoka kwa Huduma ya Usalama ya Uswidi kwamba wanafunzi wako katika hatari ya kupewa itikadi ya mfumo wa Kiislamu.

Soma zaidi...

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Hizb ut Tahrir Yawahamasisheni Kufanya Kazi Nayo ili Kusimamisha Khilafah Rashida ya Pili kwa Njia ya Utume

Kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, Afisi Kuu ya Habari, kupitia ukurasa huu, itachapisha mabango kumi ya kuuamsha Umma wa Kiislamu na watu wenye nguvu na ulinzi ndani yake ili wafanye kazi pamoja nayo kusimamisha Khilafah Rashida ya pili kwa njia ya Utume.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu