Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 391
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Taarifa ya Ikulu ya White House ilisema mnamo Ijumaa, Mei 13, 2022, “Rais [Biden] anafuraha kumkaribisha Mtukufu Mfalme Abdullah II wa Jordan na Mwanamfalme wake Mtarajiwa Hussein kwenye Ikulu ya White House Mei 13, 2022.
Mnamo Machi 25, 2022, mhadhiri, mdahili, na mwanachama wa Hizb ut Tahrir, Taimullah Abu Laban, alialikwa na Jumuiya ya Wanafunzi wa Kiislamu (MSA) Bewa la City kutoa mhadhara katika Kitivo cha Sayansi za Jamii cha Chuo Kikuu cha Copenhagen (KU).
Wachambuzi wa habari wanajaribu kuwashirikisha watu katika mjadala kuhusu Mpango wa London na Maandamano ya Islamabad, kana kwamba kuna matumaini yoyote kwamba mipango hii na ujanja huu wa kisiasa yatasuluhisha matatizo ya watu.
Kenya: Kaunti ya Mandera inaongoza kwa kiwango cha uzazi cha juu kikiwa ni 8, ikifuatiwa na Kaunti ya Marsabit kikiwa ni 7, Wajir kikiwa ni 6.7, Turkana kikiwa ni 6.4, Pokot Magharibi kikiwa ni 5.6, Samburu kikiwa ni asilimia 4.9.
Watu Wametambua kuwa Demokrasia Imefeli. Njia pekee ya kujinasua ni kufuata Sunnah ya Mtume.
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwasilisha kwa wafuasi na wanaozuru kurasa za Afisi Kuu ya Habari DVD mpya katika lugha tano yenye kichwa:
Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan itaandaa kampeni yenye kichwa, "Kataeni Demokrasia na Msimamishe Khilafah" kwenye mitandao ya kijamii mwezi mzima ujao, InshaAllah. Kampeni hii inaleta ufahamu katika mifumo ya serikali, uchumi, na vikosi vya kijeshi vya Khilafah Rashida itakayosimama hivi karibuni, InshaAllah.
Hizb ut-Tahrir / Sweden iliandaa kampeni kwa anwani “Upandikizaji Usekula: Sera ya Unyambulishaji!”