Mapendekezo ya Kongamano Jumuishi Mjini Al-Gadharif!
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut-Tahrir / Wilayah ya Sudan ilifanya Kongamano Jumuishi la Wakuu wa Makabila, Viongozi, na Wanachuoni Mashariki mwa Sudan katika Mji wa Gadharif, leo, Jumamosi tarehe 21/11/2020 M,