Enyi Wanawake wa Kisekula, Tunamuomba Mwenyezi Mungu Asikuinulieni Bendera wala Asikufikisheni Lengo Lenu
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kamari ya leo sio juu ya ukoloni, wala afisi za balozi za Magharibi, bali ni juu ya Uislamu, ambao unatabikishwa na dola ya Khilafah Rashida kwa njia ya Utume, ambayo muda wake ni umekuwa mrefu, na ambayo alfajiri yake iko karibu, Mwenyezi Mungu akipenda.