Alhamisi, 11 Dhu al-Hijjah 1447 | 2026/05/28
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Kongamano la kila Mwaka la Khilafah “Kwa Khilafah Tunakabiliana na Udhibiti wa Marekani”

Mnamo Jumamosi 02 Mei 2026 M, Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia iliandaa kongamano la kila mwaka la Khilafah katika ukumbi wa mikutano na makongamano ulio katika makutano ya Sakiet Ariana katika mji mkuu wa Tunis, lenye kichwa: “Kufeli kwa Dola ya Kisasa na Kutoepukika kwa Dola ya Khilafah”

Soma zaidi...

Jibu la Swali: Ushirika Mkuu wa Ushirikiano wa Ulinzi (MDCP) kati ya Marekani na Indonesia

Mnamo 13 Aprili 2026, Waziri wa Ulinzi wa Marekani na Waziri wa Ulinzi wa Indonesia walitangaza kuanzishwa kwa Ushirika Mkuu wa Ushirikiano wa Ulinzi (MDCP) kati ya Marekani na Indonesia. Kabla ya hili, hati ya siri kutoka Idara ya Ulinzi ya Marekani ilivuja kuhusu idhini ya safari za anga za juu za ndege za Marekani kupitia anga ya Indonesia. Je, maudhui ya makubaliano haya ni yapi na athari zake ni zipi? Athari zake ni zipi kwa uhusiano wa Indonesia na Amerika? Na athari zake ni zipi kwa uhusiano wa Indonesia na China?

Soma zaidi...

Fursa ya Dhahabu Imo Mikononi Mwenu... Simamisheni Khilafah!

Enyi Majeshi ya Pakistan! Fursa ya dhahabu iko mikononi mwenu. Simamisheni Khilafah, unganisheni Mashariki ya Kati chini ya uongozi wenu, na ifukuzeni Amerika kutoka katika Ardhi za Waislamu. Ahadi ya Mwenyezi Mungu ya tamkini na nasr (ushindi) wake iko pamoja nanyi. Dunia iko karibu na mabadiliko makubwa. Kwa nguvu ya Iman yenu, fuateni njia ya Ansar (ra) wa Al-Madina na muregeshe nuru ya Uislamu kwa ulimwengu kupitia mfumo wake wa utawala.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu