Amali za Kiulimwengu za Hizb ut Tahrir Katika Kukumbuka Kuanguka kwa Khilafah 1441 H – 2020 M
- Imepeperushwa katika Kampeni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika mwezi wa Rajab al-Muharram wa Mwaka huu 1441 H sawia na 2020M na katika kukumbuka kwa majonzi namna wahalifu walivyoivunja Dola ya Kiislamu na kuuondosha utawala wa Kiislamu (Khilafah) mnamo 28 Rajab al-Muharram 1342 H sawia na 3 Machi 1924 M.