Minbar ya Ummah: Maandamano katika Mji wa Idlib Kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw)
- Imepeperushwa katika Syria
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Minbar ya Ummah: Maandamano katika Mji wa Idlib Kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw)
Minbar ya Ummah: Maandamano katika Mji wa Idlib Kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw)
Halaiki ya watu wa kijiji cha Deir Hassan viungani mwa Idlib ilijitokeza katika maandamano ya kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) chini ya anwani "Tunakuitikia Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu".
Halaiki ya watu wa kijiji cha Felon ilijitokeza katika maandamano ya usiku kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) chini ya anwani: "Tunakuitikia Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu".
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan iligawanya toleo katika mji mkuu, Khartoum, na miji mingi ya Sudan, mnamo Jumanne 13/10/2020, na toleo hilo lilikuwa na anwani:
Kujitokeza kwa halaiki ya watu wa viunga vya Hama Kaskazini na Idlib Kusini katika maandamano katika mkusanyiko wa kambi za Al-Karameh,
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan ilifanya kikao chake cha kila mara cha Kadhia za Umma kwa anwani "Usaidizi wa Bidhaa na Huduma Baina ya Ukusanyaji na Uchungaji" mnamo Jumamosi, 1 Rabi' Al-Awwal 1442 H sawia na 17/10/2020 – saa tano asubuhi.
Uingereza: Kongamano la Kila Mwaka "Kurudi kwa Mfumo wa Kiulimwengu wa Kiislamu"
Al-Waqiyah TV: Ujumbe wa Haraka "Risala kwa Maafisa na Wanajeshi!"
Mimbari ya kila wiki ya Mashababu wa Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Sudan – eneo la Omdurman, Kaskazini – ilifanywa mnamo siku ya Ijumaa Oktoba 2, 2020, katika Soko la Sabreen chini ya anwani: "Wimbi la Usawazishaji Mahusiano … Je, watawala wa Sudan watajiunga na kundi la wanaodhihirisha khiyana kubwa?"
Kalima ya Ustadh Nijmadeen Chaiben, Mwanachama wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia Kuhusu Makubaliano ya Khiyana ya Kijeshi Baina ya Tunisia na Amerika.