Al-Waqiyah TV: Taarifa kwa Vyombo vya Habari "Je! Kuna Nini Baada ya Miaka 20 ya Vita dhidi ya (Ugaidi)?"
- Imepeperushwa katika Al-Waqiyah TV
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika mkusanyiko wa kambi za Atma Magharibi viungani mwa Idlib, baada ya swala ya Ijumaa
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika kijiji cha Al-Sahara viungani mwa Aleppo, baada ya swala ya Ijumaa,
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika barabara kuu ya Idlib / Bab Al-Hawaa, baada ya swala ya Ijumaa, kwa anwani "Ewe Daraa, Tusamehe (Lakini wakiomba msaada kwenu katika Dini, basi ni juu yenu kuwasaidia) [Al-Anfaal: 72]"
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika kijiji cha Dabeq viungani mwa Aleppo Kaskazini, baada ya swala ya Ijumaa, kwa anwani "Ewe Daraa, Tusamehe (Lakini wakiomba msaada kwenu katika Dini, basi ni juu yenu kuwasaidia) [Al-Anfaal: 72]"
Mwendelezo wa amali za umma zilizofanywa na Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan katika majimbo na maeneo mbalimbali nchini ili kuunda rai jumla yenye utambuzi wa vifungu vya Uislamu na suluhisho zake zinazohusiana na nidhamu tofauti za maisha,
Hizb ut Tahrir / Denmark yaandaa kongamano kwa anwani "Udhibiti wa Kijamii na Jamii Sambamba?!"
Kisimamo cha kulaani katika mkusanyiko wa Al-Karama - viungani mwa Idlib chini ya anwani "Mdhamini wa Kituruki ni Kuisalimisha Ardhi na Kumwaga Damu" dhidi ya mauaji ya kidhulma na kiuadui ya mtoto "Ridhwan Sattam Al-Obaid" na askari wa Kituruki.
Imekuwa miaka miwili tangu Raja Dahir wa zama zetu, Modi, kuiunganisha kwa nguvu Kashmir Iliyokaliwa mnamo 5 Agosti 2019.
Kwa rehema za Mwenyezi Mungu SWT, Harakati ya Hizb ut-Tahrir Kenya imetamatisha kampeni yake ya kiuchumi ilioanza tarehe 11 Julai 2021, na kutamatika tarehe 11 Agosti 2021.