Watoto wa Syria Wanauawa, Lini Watanusuriwa?!
- Imepeperushwa katika Kitengo cha Wanawake Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo siku ya Ijumaa, 20/8/2021, majeshi ya Assad na mshirika wake, Urusi, waliulenga mji wa Kansafra kwa makombora kadhaa, yaliyopelekea vifo vya watoto 4 kutoka familia moja na kujeruhiwa kwa raia wengine wawili.