Fahamu za Kisiasa za Hizb ut Tahrir
- Imepeperushwa katika Vitabu
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kitabu cha Fahamu za Kisiasa za Hizb ut Tahrir
Kitabu cha Fahamu za Kisiasa za Hizb ut Tahrir
Kwa mara ya tano mfululizo, Rais Kais Saied alitoa wito upya wa kufanya kongamano la kikanda ili kujadili suala la uhamiaji usio wa kawaida na kuanzisha mpango wa pamoja wa hatua za kutatua mgogoro huo.
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amekubali kuunga mkono uanachama wa NATO wa Sweden katika mkesha wa kuamkia mkutano wa siku mbili wa NATO nchini Lithuania. Katibu Mkuu wa NATO Jens Stoltenberg alisema kuwa Erdogan amekubali kuwasilisha itifaki za kujiunga kwa Sweden kwa Bunge la Uturuki, Bunge Kuu la Kitaifa, ambalo linahitaji kuidhinisha uanachama wa NATO wa Stockholm.
Mwishoni mwa Juni 2023, Mkuu wa Baraza la Rais nchini Yemen, Rashad Al-Alimi, alitangaza rasmi kuidhinisha kujitawala wenyewe kwa Jimbo la Hadhramout na akaahidi kujumlisha uzoefu huu kwa majimbo yote.
Mkutano Mkuu wa UMNO (United Malay National Organization) uliomalizika mnamo tarehe 11 Juni 2023, umeandika historia nyingine kuhusu hali ya kisiasa ya kidemokrasia ya nchi hiyo kwa uwepo wa viongozi wa chama cha Democratic Action Party (DAP) kwenye hafla hiyo.
Katika nia ya kuuridhisha Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF), serikali ya Pakistan imetangaza kuondoa mara moja vikwazo vya kuagiza bidhaa kutoka nje. Hata hivyo, jumuiya ya wafanyibiashara na wachambuzi wote wanaamini kuwa hatua hii pekee haitaleta mabadiliko makubwa katika shughuli za kibiashara za kiutendaji isipokuwa akiba ya fedha za kigeni itaimarishwa kwa kiasi kikubwa. (Tribune)
Rekodi ya watoto na vijana milioni 1.4 walitafuta usaidizi wa NHS kwa matatizo ya afya ya akili mwaka jana.
Ufichuzi huo ulizua wasiwasi kwamba msukosuko wa afya ya akili unaweza kuwa "kawaida mpya" kati ya walio na umri wa chini ya miaka 18.
Tangu jana usiku, umbile la Kiyahudi limefanya mashambulizi makubwa dhidi ya Jenin na kambi yake, kwa kutumia droni, vifaru vya kivita na magari makubwa ya kijeshi. Pia limetuma mamia ya wanajeshi hadi Jenin katika uadui wake unaoendelea hadi sasa
Baada ya mkutano kati ya Joe Biden na Narendra Modi mnamo tarehe 22 Juni 2023, taarifa ya pamoja ilitolewa na Marekani na India, ambayo imezua wasiwasi ndani ya jumuiya ya kimkakati ya Pakistan. Tangazo hili linathibitisha tena ushirikiano wa kina katika mahusiano ya Marekani na India.