Jumamosi, 25 Dhu al-Hijjah 1446 | 2025/06/21
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Jibu la Swali: Dola ya Kina (Deep State)

Neno “dola ya kina” (deep state) limetumika sana miongoni mwa wanasiasa na katika vyombo vya habari. Hata hivyo, katika kuchunguza kauli hizi, inadhihirika kwamba ziko tofauti. Je, unaweza kufafanua zaidi uwezekano wa maana ya suala hili ili tuweze kuelewa uhalisia wa kisiasa kuhusiana na neno hili, na kutoa baadhi ya mifano kwa ufafanuzi zaidi?

Soma zaidi...

Kanuni Mpya za Kifedha Katu Hazitookoa Raia kutokana na Masaibu ya Kiuchumi

Kwenye Mswada wa Fedha wa 2025/26 uliowasilishwa bungeni, uliosifiwa na serikali iliyoko madarakani kama kichocheo kikubwa cha kiuchumi kwa kuwa hautatoza ushuru mpya au kuongeza uliopo katika mapendekezo ya bajeti ya mwaka huu, serikali inaweka mikakati zaidi katika usimamizi wa kodi na kujaribu kuziba mianya hiyo na kufanya ukusanyaji wa kodi kwa ufanisi. Mswada huu unalenga kupunguza hatua za kuongeza kodi na umependekeza msamaha kutoka kwa VAT ya litania ya bidhaa ambazo kwa sasa hazijakadiriwa.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Khilafah Rashida ya Pili Itaikomboa Palestina na Kashmir!

Mnamo Mei 5, 2025, balozi wa umbile la Kiyahudi nchini India, Reuven Azar, akitoa maoni yake juu ya shambulizi la Bahalkam, lililotokea mnamo 22 Aprili, alisema, "Tumedhamiria kusonga mbele kutetea misingi yetu, kanuni zetu na maadili yetu, na nina hakika kwamba India itafanya vivyo hivyo."

Soma zaidi...

Hatua Mpya za UN na za Kanda za Kuoanisha Serikali Tawala ya Afghanistan ndani ya Mfumo wa Kisekula wa Dunia

Katika siku za hivi karibuni, Umoja wa Mataifa umekuwa ukifuatilia shughuli zake nchini Afghanistan kwa kasi zaidi kuliko hapo awali. Ziara ya Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Masuala ya Kibinadamu jijini Kabul na Kandahar, pamoja na mwaliko wa Amir Khan Muttaqi-Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali tawala nchini Qatar, inaashiria juhudi mpya za kuendeleza mipango ya kimataifa na kushawishi serikali ya Afghanistan.

Soma zaidi...

Mkondo wa Bahari wa Suez: Mtazamo kwa Kauli za Trump na Msimamo wa Utawala wa Misri

Katika onyesho jengine la kiburi, Rais wa Marekani Donald Trump alitangaza kwenye jukwaa la "Ukweli wa Kijamii" kwamba meli za Kimarekani zinapaswa kupita kwenye Mikondo ya Suez na Panama bila malipo, akidai kwamba Marekani "iliunda mikondo yote miwili." Alimteua Waziri wake wa Mambo ya Nje kufuatilia makubaliano ambayo yataasisisha matakwa haya ya kikoloni.

Soma zaidi...

Jibu la Swali: Uturuki, Umbile la Kiyahudi, na Kambi nchini Syria

Mnamo tarehe 14/4/2025, Shirika la habari la ‘Turk Press’ lilichapisha kwenye tovuti yake sababu za pingamizi ya umbile la Kiyahudi ya kuanzishwa kwa kambi ya anga ya Uturuki katika Uwanja wa Ndege wa T4 ndani ya ardhi ya Syria. Jarida la ‘Wall Street Journal’ lilichapisha kwenye tovuti yake tarehe 12/4/2025, kwamba Trump alionyesha nia yake ya kupatanisha wakati wa mkutano wake na Netanyahu wiki iliyopita. Je, hii ina maana kwamba umbile la Kiyahudi linaweza kuizuia Uturuki kuwa na uwepo wa kijeshi nchini Syria, licha ya makubaliano ya Uturuki na Syria? Je, Marekani ina dori katika suala hili ambayo inaweza kufafanua nia ya Trump kufanya upatanishi?

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Baada ya Mbabe wa Kiyahudi wa Trump wa Magharibi, Mbabe wa Kibaniani wa Trump wa Mashariki atangaza Vita dhidi ya Umma wa Kiislamu!

Baada ya kukutana na Makamu wa Rais wa Trump, J.D. Vance, Modi alisitisha Mkataba wa Maji wa Indus mnamo 23 Aprili 2025, akitishia usambazaji wa maji kwa Pakistan. Enyi, simba wa jeshi la Pakistan! Hakuna njia ila kukabiliana na mashambulizi ya pande mbili za Trump dhidi ya Umma. Nayo ni kwa kupitia muungano wa Umma wa Kiislamu chini ya Khilafah Rashida ya pili. Je, jeshi kubwa zaidi la Kiislamu lingewezaje kuacha heshima hii kwa jeshi jengine lolote?!

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu