Ijumaa, 24 Rabi' al-awwal 1446 | 2024/09/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Bajeti ya IMF Imeleta Maafa Kwa Waislamu. Ni Hukmu za Kiislamu Pekee ndizo Zinazoweza Kutoa Ufueni, kwa Kutatua Migogoro Mikuu ya Kiuchumi

Mnamo tarehe 12 Juni 2024, Waziri wa Fedha wa Pakistan aliwasilisha bajeti ya serikali ya shirikisho kwa mwaka wa 2024-2025, ambayo ilisheheni ushuru mkubwa, na kusababisha hofu miongoni mwa watu. Bajeti hiyo ilipitishwa na bunge mnamo tarehe 28 Juni, baada ya kutoza ushuru zaidi, ambao haukuwa sehemu ya bajeti ya awali!

Soma zaidi...

Waislamu wa Pakistan Wanashikiliwa Mateka na Watawala kwenye Mpango Angamivu wa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa

Mnamo tarehe 13 Julai, 2024, Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) ulithibitisha katika taarifa yake kwa vyombo vya habari kwamba Pakistan na IMF wamefikia makubaliano ya kifurushi cha mkopo wa msaada wa dolari bilioni 7, wakidai kuwa “Programu hiyo mpya inalenga kuunga mkono juhudi za mamlaka za kuimarisha utulivu wa uchumi mkuu.”

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Matembezi ya Ukombozi “Njia ya Ukombozi wa Palestina… Maandamano ya Umma na Kupinduliwa kwa Mafirauni wa Zama Hizi!

Matembezi ya 41 mfululizo tangu kuanza kwa Vita vya Kingunga cha Al-Aqsa yalifanyika mbele ya Msikiti wa Al-Fatah katika mji mkuu Tunis, ambayo yaliitishwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia, watu wa Zaytouna na kichwa chake kilikuwa “Njia ya kuikomboa wa Palestina... maandamano ya Umma na kupinduliwa kwa Mafirauni wa zama hizi!”

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu