Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Ni juu ya majeshi ya Waislamu kusimamisha tena Khilafah, ambayo ni ngao ya Waislamu mjini Gaza na nje ya Gaza!
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ni juu ya majeshi ya Waislamu kusimamisha tena Khilafah, ambayo ni ngao ya Waislamu mjini Gaza nan je ya Gaza! Mtume wa Mwenyezi Mungu kipenzi chetu ﷺ amesema,
“Hakika, Imam ni ngao. Waislamu hupigana nyuma yake na hujihami kwaye.”