Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon: Matembezi ya Takbir, Tahlil,…
Ijumaa, 3 Dhu al-Hijjah 1446 - 30 Mei 2025
Hizb ut Tahrir/Wilayah Lebanon iliandaa maandamano ya Takbir, Tahlil, na Tahmid katika mji wa Tripoli, Syria, chini ya kauli mbiu "Tuko Pamoja nawe, ewe Gaza, tukipiga Takbir na Tahmid," kwa mnasaba wa ujio wa siku kumi za kwanza za Dhul-Hijjah 1446 H – 2025 M Idd al-Adha iliyobarikiwa. Matembezi hayo yalihitimishwa kwa dua ya kugusa moyo ya Sheikh Ahmed Al-Shamali.
Jarida la UQAB Toleo 101 - Juni 2025
Hizb ut Tahrir Wilayah ya Kenya imechapisha toleo jipya la Jarida la UQAB kwa ajili…
Ugonjwa wa Kipindupindu Waangamiza Sudan, na Serikali, kwa Uzembe wake,…
Shirika la Afya Duniani (WHO) limefichua kuwa takriban wagonjwa 60,000 wa kipindupindu wamerekodiwa nchini Sudan,…
Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi: Al-Kamel Mohammad Khair
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, inamuomboleza kwa macho yenye machozi na nyoyo ziliyoridhika na…
Unachokitafuta Kinakutafuta wewe
Islamabad, Pakistan – Baraza la mawaziri la Pakistan mnamo Jumanne lilimpandisha cheo Jenerali Syed Asim…
Ulimwenguni wa Kusini na Mfumo Mpya wa Ulimwengu – Tumaini…
Mnamo Aprili 2025, wakati wa Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa BRICS nchini…