Mwangwi wa Himaya: Uharamia wa Marekani Pwani ya Venezuela
Jumamosi, 29 Jumada II 1447 - 20 Disemba 2025
Mnamo tarehe 10 Disemba 2025, Marekani ilimkamata nahodha wa meli ya mafuta kutoka pwani ya Venezuela, ikipanda meli hiyo na kuelekeza shehena yake ya takriban mapipa milioni 1.8 ya mafuta ghafi ya Venezuela hadi Marekani chini ya kibali cha vikwazo vya Marekani ambacho kilikuwa kinakaribia kuisha. Maafisa wa Marekani walidai hatua hii ya utekelezaji ililenga kuadhibu ukiukaji wa vikwazo vya muda mrefu vinavyohusiana na madai ya usafirishaji haramu wa mafuta. Serikali za Venezuela na Cuba zililaani hatua hiyo kama “wizi wa waziwazi” na “uharamia,” huku Cuba ikiuita “ugaidi wa baharini” ikiathiri mahitaji yake ya nishati. Usumbufu huo umeacha zaidi ya...
Yaonekana Mazuri, lakini Ndani Hamna Kitu!
Rais Erdoğan, katika hotuba yake baada ya mkutano wa baraza la mawaziri, pia aligusia mwelekeo…
Ubepari kama Chanzo Kikuu cha Maafa ya Mafuriko huko Sumatra
Kimbunga Senyar kilikuwa kichocheo tu; kiwango cha uharibifu nchini Indonesia kinaonyesha miongo kadhaa ya usimamizi…
Enyi Waislamu: Kufunga Vyumba vya Ibada ni Shambulizi kwa Uislamu…
Baada ya mwelekeo hasi wa kisiasa kwenye vyumba vya ibada, idara ya Chuo Kikuu cha…
Unyanyasaji wa Kimpangilio wa Kijinsia Dhidi ya Wanawake wa Sudan…
Mnamo Alhamisi tarehe 11 Disemba, shirika, ‘The Strategic Initiative for Women in the Horn of…
Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 578
Vichwa Vikuu vya Toleo 578




