Jumamosi, 30 Jumada al-thani 1447 | 2025/12/20
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Makala Mpya

Mwangwi wa Himaya: Uharamia wa Marekani Pwani ya Venezuela

Mwangwi wa Himaya: Uharamia wa Marekani Pwani ya Venezuela

Jumamosi, 29 Jumada II 1447 - 20 Disemba 2025

Mnamo tarehe 10 Disemba 2025, Marekani ilimkamata nahodha wa meli ya mafuta kutoka pwani ya Venezuela, ikipanda meli hiyo na kuelekeza shehena yake ya takriban mapipa milioni 1.8 ya mafuta ghafi ya Venezuela hadi Marekani chini ya kibali cha vikwazo vya Marekani ambacho kilikuwa kinakaribia kuisha. Maafisa wa Marekani walidai hatua hii ya utekelezaji ililenga kuadhibu ukiukaji wa vikwazo vya muda mrefu vinavyohusiana na madai ya usafirishaji haramu wa mafuta. Serikali za Venezuela na Cuba zililaani hatua hiyo kama “wizi wa waziwazi” na “uharamia,” huku Cuba ikiuita “ugaidi wa baharini” ikiathiri mahitaji yake ya nishati. Usumbufu huo umeacha zaidi ya...

Afisi ya Habari

Unyanyasaji wa Kimpangilio wa Kijinsia Dhidi ya Wanawake wa Sudan Hautoi Jibu lolote kwa Kukosekana kwa Dola Inayojali Heshima ya Mwanamke Mwislamu

Unyanyasaji wa Kimpangilio wa Kijinsia Dhidi ya Wanawake wa Sudan Hautoi Jibu lolote kwa Kukosekana kwa Dola Inayojali Heshima ya Mwanamke Mwislamu

Jumatano, 26 Jumada II 1447 - 17 Disemba 2025

Mnamo Alhamisi tarehe 11 Disemba, shirika, ‘The Strategic Initiative for Women in the Horn of  Africa’, liliripoti kuwa limerekodi karibu matukio 1300 ya unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake...

Je, Vikosi vya Kiislamu vya Jeshi la Pakistan Sasa, Chini ya Uongozi wa Jenerali wa Marekani, Vitawalinda Mayahudi na Kuupokonya Silaha Upinzani wa Palestina?

Je, Vikosi vya Kiislamu vya Jeshi la Pakistan Sasa, Chini ya Uongozi wa Jenerali wa Marekani, Vitawalinda Mayahudi na Kuupokonya Silaha Upinzani wa Palestina?

Jumapili, 23 Jumada II 1447 - 14 Disemba 2025

Gazeti la Dawn liliripoti kwenye tovuti yake mnamo tarehe 13 Disemba, 2025 kwamba majeshi ya Waislamu huenda yakatumwa kuanzia mwezi ujao kwa ajili ya “Kikosi cha Kimataifa cha kuleta Utulivu” mjini G...

Matoleo

Enyi Waislamu: Kufunga Vyumba vya Ibada ni Shambulizi kwa Uislamu na Lazima Kukabiliwe kwa Upinzani Mkali, wa Pamoja wa Kisiasa

Enyi Waislamu: Kufunga Vyumba vya Ibada ni Shambulizi kwa Uislamu na Lazima Kukabiliwe kwa Upinzani Mkali, wa Pamoja wa Kisiasa

Jumapili, 16 Jumada II 1447 - 07 Disemba 2025

Baada ya mwelekeo hasi wa kisiasa kwenye vyumba vya ibada, idara ya Chuo Kikuu cha Copenhagen iliamua mwishoni mwa Novemba kufunga kile kinachoitwa “vyumba vya utulivu,” ambavyo Waislamu walikuwa waki...

Sera ya Elimu Baina ya Kufeli kwa Dola ya Kisasa na Ruwaza ya Khilafah Rashida

Sera ya Elimu Baina ya Kufeli kwa Dola ya Kisasa na Ruwaza ya Khilafah Rashida

Jumatano, 20 Rabi' II 1447 - 12 Novemba 2025

Sera ya elimu nchini Tunisia, kama moja ya nguzo za dola ya kisasa, imefeli, na mageuzi yanayorudiwa rudiwa hayajafanikiwa. Watoto wetu wamekuwa chini kabisa katika orodha ya kimataifa, na shule na vy...

Habari za Dawah

DVD “Amali za Kimataifa za Hizb ut Tahrir katika Kuinusuru Gaza!”

DVD “Amali za Kimataifa za Hizb ut Tahrir katika Kuinusuru Gaza!”

Ijumaa, 21 Jumada II 1447 - 12 Disemba 2025

Kwa kuzingatia matendo ya kishujaa ya mujahidina katika ardhi iliyobarikiwa ya Palestina mnamo 7 Oktoba 2023, chini ya kauli mbiu ya “Kimbunga cha Al-Aqsa,” dhidi ya umbile nyakuzi la Kizayuni, ambalo...

DVD za Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir (Imejadidishwa)

DVD za Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir (Imejadidishwa)

Ijumaa, 9 Rabi' II 1442 - 17 Januari 2025

DVD za Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir ...

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi Miongoni mwa Mashababu wa Hizb ut Tahrir Mwalimu Ustadh Ahmad Muhammad Al-Saharin (Abu Khalid)

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi Miongoni mwa Mashababu wa Hizb ut Tahrir Mwalimu Ustadh Ahmad Muhammad Al-Saharin (Abu Khalid)

Ijumaa, 21 Jumada II 1447 - 12 Disemba 2025

Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir/Wilayah Jordan inaomboleza kifo cha mwalimu mtukufu, Ustadh Ahmad Muhammad Al-Saharin (Abu Khalid), mwanachama wa Hizb ut Tahrir, aliyefariki Jumatano, 10 Disemba 202...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Amali ya Umma “Moto mjini Gaza Hautazima, na Dhulma Haitakwisha!!

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Amali ya Umma “Moto mjini Gaza Hautazima, na Dhulma Haitakwisha!!

Jumapili, 16 Jumada II 1447 - 07 Disemba 2025

Katika kukabiliana na mauaji ya kikatili yanayoendelea (mauaji ya halaiki) yaliyofanywa na umbile halifu la Kizayuni dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza kwa zaidi ya miaka miwili, ...

Habari

Mwangwi wa Himaya: Uharamia wa Marekani Pwani ya Venezuela

Mwangwi wa Himaya: Uharamia wa Marekani Pwani ya Venezuela

Jumamosi, 29 Jumada II 1447 - 20 Disemba 2025

Mnamo tarehe 10 Disemba 2025, Marekani ilimkamata nahodha wa meli ya mafuta kutoka pwani ya Venezuela, ikipanda meli hiyo na kuelekeza shehena yake ya takriban mapipa milioni 1.8 ya mafuta ghafi ya Ve...

Yaonekana Mazuri, lakini Ndani Hamna Kitu!

Yaonekana Mazuri, lakini Ndani Hamna Kitu!

Ijumaa, 28 Jumada II 1447 - 19 Disemba 2025

Rais Erdoğan, katika hotuba yake baada ya mkutano wa baraza la mawaziri, pia aligusia mwelekeo wa Uturuki wa sera ya kigeni, akisema: “Uturuki imeipa dunia funzo katika haki za binadamu kupitia juhudi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu