Uamuzi wa Mahakama ya Upeo Unaipa Zinaa Nafasi sawa na…
Jumanne, 6 Muharram 1447 - 01 Julai 2025
Mahakama ya Upeo imeamua kuwa watoto waliozaliwa nje ya ndoa na baba Waislamu wana haki ya kurithi mali ya baba yao, jambo linaloashiria maendeleo makubwa katika tafsiri ya sheria za kibinafsi za Kiislamu nchini Kenya. Hii ni baada ya Mahakama ya Juu mnamo Jumatatu tarehe 30 Juni kutupilia mbali rufaa ya Fatuma Athman Abud Faraj, ambaye alitaka kuwatenga watoto wa marehemu mumewe, Salim Juma Hakeem Kitendo, katika mali yake kwa madai kwamba walizaliwa nje ya ndoa inayotambulika ya Kiislamu.
Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 554
Vichwa Vikuu vya Toleo 554
Maumbile ya Mahusiano kati ya Uingereza na Urusi
Maumbile ya mahusiano kati ya Uingereza na Urusi yamekuwa makali na yenye taharuki tangu karne…
Ongezeko la Wanamgambo nchini Sudan Linasonga Kaskazini!
Tangu Ijumaa, tarehe 27/6/2025, vyombo vya habari vimeripoti kuwa Rais wa Eritrea Isaias Afwerki amekubali…
Jibu la Swali: Uvamizi wa Umbile la Kiyahudi dhidi ya…
Al Arabiya ilichapisha kwenye tovuti yake mnamo tarehe 27/6/2025: "Vyanzo vinne vyenye taaarifa vilisema kuwa…
Kuibuka kwa Miungano Miwili Mipya ya Kijeshi katika Mashariki ya…
Muungano kati ya Pakistan, Uturuki na Azerbaijan umekuwa ukichukua umbo kwa utaratibu uliopangwa, tangu viongozi…