Taasisi zote za Kikoloni, ikiwemo Tume Kuu ya Umoja wa…
Jumatatu, 26 Muharram 1447 - 21 Julai 2025
Licha ya maandamano na wasi wasi wa ngazi zote za wananchi na vyama vya kisiasa, hatimaye serikali ya mpito ya Bangladesh imetia saini makubaliano ya kuanzisha afisi ya taasisi ya Kikoloni yenye ushawishi wa Marekani, Tume Kuu ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa. Uamuzi huu wa serikali umekaribishwa na mashirika ya wanawake yenye chuki dhidi ya Uislamu, ambayo yanashiriki kikamilifu katika usawa wa kijinsia wa Magharibi, utambuzi wa kijamii wa "taaluma" ya kuchukiza ya ukahaba, na kile kinachoitwa haki za binadamu za LGBTQ ikiwa ni pamoja na ushoga unaoangamiza jamii; ilhali wana utata na kukosolewa na ngazi zote...
Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb…
Mgogoro wa kikatili nchini Sudan kati ya Wanajeshi wa Sudan (SAF) wanaoongozwa na mtawala mkuu…
Majanga na Maafa ni Matokeo ya Kimaumbile ya Kukosekana Dola…
Katika msururu wa ajali za mara kwa mara na moto wa kutisha-hasa ule moto wa…
Matukio ya Umwagaji damu huko Sweida Yafichua Hatari za Makundi…
Kufuatia siku kadhaa za mapigano makali yaliyogharimu maisha ya mamia ya ndugu zetu waliokufa shahidi,…
Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 557
Vichwa Vikuu vya Toleo 557
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Imezindua tena…
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwatangazia wafuasi na wageni wake katika…