Kongamano la Kiuchumi Mjini Inegol "Suluhisho la Kiislamu kwa Mgogoro wa Kiuchumi"
- Imepeperushwa katika Uturuki
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut-Tahrir / Wilayah Uturuki iliandaa kongamano la kiuchumi mjini Inegol katika jimbo la Bursa chini ya kichwa "Suluhisho la Kiislamu kwa Mgogoro wa Kiuchumi", sanjari na mnasaba wa kumbukumbuka ya miaka 101 Hijria ya kuvunjwa Dola ya Khilafah mnamo tarehe 28 Rajab Muharram 1342 H.