Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Ombi la Kiongozi wa Mashtaka la Kuwafunga Wanachama 4 wa Hizb ut Tahrir Miaka 52.5 kwa Jumla
- Imepeperushwa katika Uturuki
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kiongozi mmoja wa mshtaka aliomba kifungo cha miaka 52.5 kwa jumla kwa wazungumzaji 4 wa kongamano moja ambalo lilikuwa limepangwa kufanyika mnamo 2017 lakini likazuiwa pasi na sababu msingi.