Ghasia Mpakani kati ya China na India
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kisiasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Shirika la habari la Reuters lilichapisha mnamo 10/06/2020: "…
Shirika la habari la Reuters lilichapisha mnamo 10/06/2020: "…
Karibu wiki mbili zilizo pita, Amerika ilizongwa na maandamano makubwa katika baadhi ya maeneo yaliyojaa ghasia, uporaji wa maduka, na uteketezaji vituo vya polisi. Je, mauaji ya mtu mmoja mweusi nchini Amerika yaweza kuchochea maandamano kama hayo?
Kama ilivyo mashuhuri, Al-Kadhimi alijishindia imani ya idadi kubwa ya Bunge linalo unga mkono Iran, ingawa anatuhumiwa na pande zilizo tiifu kwa Iran na watu wake nchini Iraq kushirikiana na Amerika katika mauaji ya Soleimani, na baadhi ya watu wa Iran wanamtaja kama mtu wa Amerika.
Habari zimeripotia kushuka kwa ghafla kwa bei ya mafuta, hususan mafuta ya Texas, hadi ikafikia takriban dolari 30 chini ya sifuri.
Hii ndio taarifa ya kwanza kuthibitishwa rasmi iliyotolewa na Uchina juu ya utiaji saini huo, ambapo nyuma Trump alisema kuwa atazuru Beijing baada ya kutiwa saini makubaliano hayo ili kuanza mazungumzo juu ya Awamu ya Pili …"(Trade Captain, 10/01/2020).
Tunataraji Hizb inatia maanani kadhia za Waislamu katika Afrika kama inavyotia maanani kadhia nyengine za Waislamu ambazo likizuka jambo tu hutoa toleo baada ya siku moja au mbili…Lakini, kwa mfano, Gambia, haijatoa toleo lolote kuhusu (nchi hiyo) hadi leo, pamoja na kwamba yaliyotokea yameendelea kwa karibu miezi miwili.
Baada ya kusimama kwa muda kwa ghasia baina ya Haftar, kibaraka wa Marekani, na majeshi yanayo husishwa na al-Sarraj, kibaraka wa Ulaya, majeshi ya Haftar yameregelea mashambulizi yao ya mji mkuu, Tripoli. Je, Haftar, na nyuma yake Marekani, wanaona kuwa udhibiti wa Tripoli sasa unawezekana?
Twajua kuwa harakati maarufu nchini Iraq, Lebanon na Iran zilianza kwa ghafla kama ilivyo dhihirika mnamo 5/11/2019; je, zingali hivyo? Je, kuna dori zozote za Ulaya katika nchi hizi tatu ambako Marekani ina ushawishi?
Katika nchi ambayo watu wake wameubeba Uislamu, nchi ya mashahidi milioni moja kwa kupigana jihad dhidi ya uvamizi wa Ufaransa uliokuwepo kwa miaka 132, ndani ya nchi maandamano yaliyoungwa mkono na wengi yalianza, yakivunja vizuizi vya hofu kwa madhalimu wa Algeria tangu 22/2/2019 mpaka wa leo, lakini hawalinganii Uislamu!
Imebainika kuwa maafisa wa Ulaya wamemiminika ndani ya Sudan na kutangaza kuinusuru serikali ya Hamdouk. Mnamo 16/9/2019, Waziri wa Kigeni wa Ufaransa aliwasili Khartoum na kukutana na Waziri Mkuu wa Sudan, Abdallah Hamdouk na kutangaza msaada wa Uro milioni 60 kwa Sudan na kwamba itafanyakazi kuiondosha Sudan katika orodha ya Ugaidi.