Ni Fedheha Kubwa Kumkaribisha Waziri wa Mambo ya Nje wa Mkuu wa Magaidi Marekani mwenye Kiu ya Umwagaji Damu!
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken kwanza alizuru Uturuki kama sehemu ya ziara yake ya Mashariki ya Kati. Baada ya kukutana na Waziri wa Mambo ya Nje Hakan Fidan, Blinken alipokelewa na Rais Recep Tayyip Erdoğan.